Shughuli ya uokoaji ikiendelea.
Watu Watatu wamekutwa na tukio la kufukiwa na kifusi maeneo ya machimbo ya kifusi huko Bunju , watu hao walikuwa wakichimba kwa bahati mabaya udongo ukamong'onyoka na kuwafukia, wananchi mbali mbali walijitokeza na kusaidia zoezi la uokoaji kwa bahati mbaya wote walipatwa wakiwa wameshafariki

Waokoaji baada ya kugundua mwili ulipo.

Walio fariki imefahamika ni bwana Msagala, Jacob na Mwando wote ni wakazi wa Bunju
No comments: